Enock Maregesi Biography

Biography

Type: Novelist

Born: in Mwanza, Tanzania

Died:

In 2015 he won the Mabati-Cornell Kiswahili Prize For African Literature for "Kolonia Santita". The prize has the express goal in recognizing excellent writing in African languages and encourages translation from, between and into African languages. He lives in Tanzania.

Enock Maregesi Quotes

Be nice to the environment. Be nice to animals. Be nice to people. If you do that, you will leave a mark on the world.

Imani ni nia ya kujua kisichoweza kujulikana na hupeleka watu kwenye ukweli. Kuamini hupotosha, na ni nia ya kudharau kinachoweza kujulikana.

Kama umefanya au umesema kitu kibaya na ukasema ukweli mbele ya mtu au ya watu, omba msamaha kupata tena kibali cha umma.

Tunasema uongo kwa sababu hatuna ujasiri wa kusema ukweli. Ukweli hautupi uhuru, unatupa upweke.

Ukisema ukweli utapata uhuru wa nafsi. Ukisema uongo utapata uhuru wa umma. Heri uhuru wa nafsi kuliko wa umma.

Mungu ni mwingi wa hekima, lakini kwa nini alimuumba Shetani? Kwa sababu, Shetani wakati mwingine ni hekima. Ukiendelea kupigwa, bila wewe kupiga, unaweza kuumia, familia yako inaweza kuumia pia! Kuepusha matatizo ya familia yako, wakati mwingine unahitaji kupigana.

Share Page

Enock Maregesi Wiki

Enock Maregesi At Amazon